MYTH
Elimu ya kujamiiana inawahimiza vijana kuwa na uasherati.
FACT
Elimu ya kujamiiana haihimizi uasherati. Vijana wanapenda kujua kuhusu ngono, na wengi wanafanya ngono, bila kujali wanajifunza nini shuleni. Kwa kuwafundisha jinsi ya kuzuia VVU na magonjwa ya ngono, na jinsi ya kukataa ngono ikiwa wanataka, elimu ya kujamiiana inaboresha maisha yao.